Monday, September 1, 2014

POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA WASHABIKI WENYE HASIRA



Stuttgart,Ujerumani,
Usiku wa Jumamosi ya Tarehe 30.Augost 2014, majira ya saa 10
Alfajiri Mwanamuziki nyota wa Bongo Flaver Nasib Abdul aka Diamond Platnumz
alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjiniStuttgart,Ujerumani,baada yawashabiki waliokuwa na hasira
kuchoka kusubiri show.Washabiki hao waliokuwa wamelipa
ticket euro 25 kwa kiingiliowaliahidiwa kuwa show ingeanza saa
4.00 usiku,lakini walijikutawakisubiri hadi majira ya saa 10 usiku au alfajiri ndipo mwanamuzikiDiamond alipoletwa jukwaani na promota wake Mr.Awin Williams
Akipomiemie raia wa Nigeria anajiitakama Britts Event.
Hapo ndipo washabiki hao walipoona kuwa hawakutendewa haki walianza
kurusha chupa na kutaka kumvamia mwanamuziki Diamond na promota
wake,
Kilichowakera zaidi washabiki ni pamoja na vyombo vibovu vilivyofungwa
katika ukumbi huo kitu ambacho kiliwafanya washabiki kuvunja hadi
vyombo vya muziki
ma-Djs walishambuliwa na wapo Hosptalini kwa sasa.
Moja wa Djs hao alipoteza Lap top yake ,mwanadada DJ Flor alipatwa shock
mstuko wa moyo na kukimbizwa hosptali, washabiki hao walimpa kipigo
DJ Drazee naye yupo hoi hospatal.
Polisi nchini Ujerumani wamesema tukio hili la aibu halijawahi
kutokea,kwani msanii kuchelewa kufika jukwaani kwa ujerumani ni kitu
cha hatari sana,kwani washabiki wa ujerumani wanaheshimu sana muda
wao.
mpaka sasa polisi wanamsaka mwandaaji wa onyesho hilo na wamesema
kuwa
wanachunguza thamani ya hasara iliyosababishwa na ghasia hizo na pia
itamfungulia mashataka promoter huyo raia wa Nigeria,ambaye pia
anachunguzwa kwa kusemekana anajihusisha na mtandao fulani wa biashara
Hivi ndivyo ukumbi huo ulivyokuwqa baada ya tafrani hiyo.
Magazeti ya Stuttgart; yameandika "Washabiki wana hasira nawe


No comments:

Post a Comment