Wednesday, July 23, 2014

Rodriguez sasa atua madrid kwa £60million

Real Madrid wamekubali kumsainisha mshindi wa kiatu cha dhahabukatika kombe la dunia lililomalizika hivi karibuni nchini Brazi, JamesRodriguez kutoka Monaco.
 
Mchezaji huyo wa Colombia amesaini mkataba wa miaka sita na timu hiyo na alifanyiwa vipimo Jana
               
                                                                               
                                                                             Nipo Fiti
Madrid imelipa dau la £60million, na kuufanya uhamisho wa Rodriguez  kushika nafasi ya nne katika orodha ya uhamisho ghali zaidi kwenye historia ya soka baada ya Gareth Bale, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.

No comments:

Post a Comment