Na Jumanne hii gazeti la El Mundo Deportivo limethibitisha kuwa klabu hiyo ambayo Riri anataka kuinunua si nyingine bali ni Liverpool! Hiyo ni baada ya muimbaji huyo kupewa ushauri na mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba wa klabu ipi anaweza kuinunua.
Liverpool inamilikiwa na kampuni ya Marekani, Fenway Sports Group.
No comments:
Post a Comment