BongoLeo
Tumedhamiria kukuhabarisha kupitia mtandao.
HOME
JOBS
ARTISTS
SPORTS
COMEDY
MUSIC
Thursday, August 28, 2014
OKWI ATUA TENA SIMBA, ASAINI MIAKA MIWILI
Pichani ni Emmanuel Okwi
Yametimia, hatimaye Emmanuel Okwi amerejea katika kikosi chake cha zamani cha Simba.
Okwi rasmi anasaini leo kujiunga na Simba baada ya kuelewana na uongozi wa klabu hiyo.
Mganda huyo amechukua uamuzi wa kusaini kuichezea Simba baada ya Yanga kumtema.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment