Thursday, August 28, 2014

OKWI ATUA TENA SIMBA, ASAINI MIAKA MIWILI


Pichani ni Emmanuel Okwi

Yametimia, hatimaye Emmanuel Okwi amerejea katika kikosi chake cha zamani cha Simba.
Okwi rasmi anasaini leo kujiunga na Simba baada ya kuelewana na uongozi wa klabu hiyo.
Mganda huyo amechukua uamuzi wa kusaini kuichezea Simba baada ya Yanga kumtema.


No comments:

Post a Comment