Thursday, August 28, 2014

MKURUGENZI WA TBS AFUNGWA MIAKA 3 JELA


Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu DSM, imemhukumu kwenda jela miaka 3 aliyekuwa mkurugenzi wa TBS Bwana Charles Ikerege baada ya kukutwa na hatia katika makosa yaliyokuwa yakimkabili, ikiwa ni pamoja na matumizi mabaya ya madaraka.

No comments:

Post a Comment