Friday, August 22, 2014

MANCHESTER UNITED YAPAMBANA 'KUFA KUPONA' KUWANASA DI MARIA, SAMI KHEDIRA

Pair of aces: Angel Di Maria (left) and Sami Khedira are both on Manchester United's radar
Wote kwenye rada: Angel Di Maria (kushoto) na Sami Khedira wanatakiwa na Manchester United.
MANCHESTER United bado wanapambana kuhakikisha wanawasajili nyota wawili wa Real Madrid, Muargentina, Angel di Maria na Mjerumani Sami Khedira.
Habari njema kwa mashabiki wa United ni kwamba makamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Ed Woodward anapigana kuwasajili wachezaji hao kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.
Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti alisema jumanne kuwa Di Maria na Khedira wanaweza kuondoka.
Di Maria amekuwa katika rada za Louis Van Gaal kwa majira yote ya kiangazi wakati Khedira alimuona wakati anafundisha soka nchini Ujerumani.
Wanted: Di Maria remains a top target for Louis van Gaal and Manchester United this summer
Di Maria ndiye chaguo namaba moja la Luis Van Gaal na Manchester United majira haya ya kiangazi.
Open offer: Carlo Ancelotti says ¿if Di Maria doesn¿t find a solution for his future, we would welcome him back'
Milango iko wazi: Naye meneja wa Real madrid Carlo ancelott amesema, "Kama Di Maria hatapata hatima yake ya baadae, kwa furaha tunamkaribisha tena "

No comments:

Post a Comment