Tuesday, September 2, 2014

HUU NDIO UHAMISHO WA WACHEZAJI KUMI GHALI ZAIDI KUFANYIKA KWENYE DIRISHA HILI LA USAJIRI.

Suarez to Barcelona and the 10 most expensive transfers of the summer
Dirisha la usajili la majira haya ya kiangazi kwa vilabu majira haya ya kiangazi limefungwa hapo jana usiku tukishuhudia miezi kadhaa ya kufuru ya matumizi yaliyokithili ya pesa kwa vilabu barani Ulaya.

Japokuwa rekodi ya uhamisho ghali zaidi duniani inashikiriwa na Gareth Bale ya uhamisho wa Euro milioni 100 alipohama kutoka Tottenham kwenda Real Madrid mwaka uliopita lakini mado suala la matumizi ya fedha na uvunjwaji wa rekodi mbalimbali linabakia palepale kwa vilabu kadhaa barani Ulaya.
Little bit hefty! United paid a club record £60million for Real Madrid midfielder Angel di Maria 
Wakati vilabu vikiendelea kusharehekea mapato makubwa kwenye matangazo na mauzo ya vifaa mbalimbali isivyo kawaida na vikienda kwenye duka kuu la ununuzi wa wachezaji ambalo ni michuano ya kombe la Dunia iliyofanyika kule nchini Brazil, Vilabu vinaonekana kuongeza ushindani pia kwenye matumizi ya mapato hayo makubwa wanayojikusanyia kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato.

Ufuatao ni usajili wa wachezaji kumi ambao wamenunuliwa kwa mahela mengi kwenye msimu huu wa manunuzi.
No.MchezajiKutokaKwendaAda (Euro)
1Luis SuarezLiverpoolBarcelona88m
2James RodriguezMonacoReal Madrid80m
3Angel Di MariaReal MadridManchester United75m
4David LuizChelseaParis Saint-Germain49.5m
5Eliaquim MangalaPortoManchester City44.5m
6Diego CostaAtletico MadridChelsea44m
7Alexis SanchezBarcelonaArsenal40m
8Luke ShawSouthamptonManchester United37.8m
9Ander HerreraAthletic BilbaoManchester United36.5m
10Cesc FabregasBarcelonaChelsea36m

1 comment:

  1. Ukiipenda share na wenzako kwenye mitandao ya kijamii.Utakuwa umefanya jambo la kizalendo sana

    ReplyDelete