Sunday, August 3, 2014

Harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu, azawadiwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250!

Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi.
Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine.



Pastor Myamba na mkewe wakiwa na zawadi yao ya fedha taslimu, kwa mujibu wa JB aliyehudhuria harusi hiyo, Pastor Myamba na mkewe wamezawadiwa pamoja na vitu vingine, gari jipya na pesa taslimu shilingi milioni 250!!

No comments:

Post a Comment