Tuesday, July 29, 2014

WANAWAKE WAWILI WAKAMATWA NA SILAHA ZA KIVITA DAR ES SALAAM

Photo: WANAWAKE WAWILI WAKAMATWA NA SILAHA ZA KIVITA DAR ES SALAAM.

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata watuhumiwa 10 wa ujambazi, wakiwamo wanawake wawili waliokutwa na silaha nane za kivita kufuatia msako uliofanywa na jeshi hilo.Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema majambazi hao walikuwa katika mtandao wa ujambazi wa kufanya uhalifu katika maeneo tofauti.

Unafikiri nini kifanyike kupunguza matukio ya uhalifu Tanzania?
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata watuhumiwa 10 wa ujambazi, wakiwamo wanawake wawili waliokutwa na silaha nane za kivita kufuatia msako uliofanywa na jeshi hilo.Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema majambazi hao walikuwa katika mtandao wa ujambazi wa kufanya uhalifu katika maeneo tofauti.
                     Source:EATV.

No comments:

Post a Comment